Wakati Watanzania ‘ tukijidanganya ‘ kwamba Wachezaji wetu wa Serengeti Boys ni wazuri ‘ Mawakala ‘ bado hawajaona anayefaa.

Wachezaji 6 walioachwa na kocha na kutuletea hii mizoga,walihusika kuleta kombe la cosafa ila wakachujwa kuiwakilisha taifa kisa hawana marefa huko tifuatifua acha tuendelee kupigika tu maana hatutaki kufuata weledi.

Huwa siamini katika kocha mzawa Tz maana ni sanamu tu anaamuliwa kila kitu.

Leo pale Taifa na Uganda kabadili kikosi hadi kipa,kipa mechi zote za, maandalizi alicheza leo hajawahi cheza,leo ilikuwa game yakwanza,kocha anayeijua kazi yake asingefanya changes golini,waleo alikuwa anatetemeka tu.

Tupigwe zote ili tufanye mambo kwa weledi
 
Mkuu tupe mrejesho tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…