mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana FJ,
Kwa kweli ukisikia kuachwa ndio huku, wakati sisi tunaangaika huku na huku kuchagua viongozi bila kuzingatia vigezo na masharti hadi kufikia kuchagua viongozi walio na mazoea kula rushwa na kujilimbikizia mali, Kenya wako bize na mikakati ya kuendeleza nci yao kiviwanda, kibiashara na kiuchumi kwa ujumla.
Kusema ukweli pamoja na kwamba uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi ya kwenye vitabu na danganya toto ya wageni wanaotaka kuingia nchini kujichukulia walichokibakiza wakati wa ukoloni. Sifa nyingi tunapewa lakini wakenya wanafanya kwa vitendo.
Hapa nchini ni baadhi ya barabara zao, barabara ndio njia kuu ya utandawazi wa kuendeleza uchumi.
Kwa kweli ukisikia kuachwa ndio huku, wakati sisi tunaangaika huku na huku kuchagua viongozi bila kuzingatia vigezo na masharti hadi kufikia kuchagua viongozi walio na mazoea kula rushwa na kujilimbikizia mali, Kenya wako bize na mikakati ya kuendeleza nci yao kiviwanda, kibiashara na kiuchumi kwa ujumla.
Kusema ukweli pamoja na kwamba uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi ya kwenye vitabu na danganya toto ya wageni wanaotaka kuingia nchini kujichukulia walichokibakiza wakati wa ukoloni. Sifa nyingi tunapewa lakini wakenya wanafanya kwa vitendo.
Hapa nchini ni baadhi ya barabara zao, barabara ndio njia kuu ya utandawazi wa kuendeleza uchumi.