Wakati we unaringa na Trakoo lako mi naringa na...


We jamaa sasa inabidi uandike vitabu. Haya madini sio ya kutupwa ovyo😂😂😂
 
Hivi huyu jamaa huwa nistory za kweli ?

Maana yeye ni kula nyuchi tu hakunaa lingine.

Zero IQ Kama ni story za kutunga wewe ni mwamba.
 

[emoji23][emoji23]
 
Juhudi zako za kusaka na kuchakata papuchi ungeziwekeza kwenye kazi za maendeleo saa hizi usingelialia kuibiwa makarai na mabeseni ya kukaangia viepe!
 
Juhudi zako za kusaka na kuchakata papuchi ungeziwekeza kwenye kazi za maendeleo saa hizi usingelialia kuibiwa makarai na mabeseni ya kukaangia viepe!
Hayo makarai na mabeseni yalikuwa ya kazi gani mkuu?
 

Futuhiii Ndio ni Futuhiii.
 
Zero si ulisema umestaafu chamani,tulikuwa tunaanza mchakato wa kumtafuta mgombea mpya.

Tulishaambiwa vijana wa kuanzia 82 tuache tamaa,Zero ulitakiwa uwe na msimamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…