Wakati Yanga inakusanya wanachama wapya kwa supu, idara ya uhamasishaji AZAM wao wamelala chamazi

Wakati Yanga inakusanya wanachama wapya kwa supu, idara ya uhamasishaji AZAM wao wamelala chamazi

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Azam haina mashabiki kwa sababu waliopewa idara ya uhamasishaji wanajali mishahara zaidi kuliko klabu.

Licha ya Yanga kuwa na mafanikio lakini wanatumia njia nyepesi ya kuwalisha supu watu na kuwashawishi wanunue kadi za uanachama.

1724834897438.jpg

Azam mgekuwa mnawanywesha na kuwalisha mashabiki zenu hata juisi na ndazi mgepungukiwa nini huku mikoani?

Watu wanapenda kula nyinyi mpompo tu.

Popati fukuza hao watu weka watu wa marketing wakusaidie uepuke aibu ya kukosa mashabiki hapo hapo chamanzi kwenye mkoa wenye watu wengi kuliko mikoa yote.

Nawasilisha
 
Yanga waambie tu kuna supu ya bure utakutana na mtu hadi anaulizia kichwa cha ng'ombe kimepelekwa wapi, ila waambie wanunue ticket huoni hata mmoja
 
azam malengo yake si wanachama bali kutangaza bidha za azam ndugu
Hata hiyo ni njia nzuri mkuu

Unatangaza bidhaa za azam huku mwanza na Bariadi ni juisi za jambo azam anapumulia mashine

Wakitangaza kuna supu huku kwa wasukuma nakuhakikishia kirumba itajaa mpaka kwenye korido

Unapomshawishi mtu wa mikoani tmia akili ndogo tu
 
Hata hiyo ni njia nzuri mkuu

Unatangaza bidhaa za azam huku mwanza na Bariadi ni juisi za jambo azam anapumulia mashine

Wakitangaza kuna supu huku kwa wasukuma nakuhakikishia kirumba itajaa mpaka kwenye korido

Unapomshawishi mtu wa mikoani tmia akili ndogo tu
kwani wamekwambia mauzo yao yako chini..pengine wateja wamewazidi
 
Timu zinakuwa na wanachama au mashabiki??
Huwezi kuwa mwanachama bila kuwa shabiki ndugu



Leo yanga wanalisha watu supu huko kagera kwaajili ya mechi ya kesho unadhani yanga ni wajinga?
 
Ushabiki ni kama dini.Mtu hajiungi dini kwa kuhamasishwa ua ukubwani. Ukiona mtu mzima kafanya hivyo Kuna fuse hazipo sawa kichwani. Mashabiki waliopo wa Azam ni mashabiki wa Simba hilo ndio ukweli hata shangilia Yao ni ile ile
 
Azam haina mashabiki kwa sababu waliopewa idara ya uhamasishaji wanajali mishahara zaidi kuliko klabu.

Licha ya Yanga kuwa na mafanikio lakini wanatumia njia nyepesi ya kuwalisha supu watu na kuwashawishi wanunue kadi za uanachama


Azam mgekuwa mnawanywesha na kuwalisha mashabiki zenu hata juisi na ndazi mgepungukiwa nini huku mikoani?

Watu eanapenda kula nyinyi mpompo tu

Popati fukuza hao watu weka watu wa marketing wakusaidie uepuke aibu ya kukosa mashabiki hapo hapo chamanzi kwenye mkoa wenye watu wengi kuliko mikoa yote

Nawasilisha
Sio kila timu lazima iwe na wanachama, nyingine huwa za wamiliki. By the way timu za wanachama huwa ni ngumu kufanya management maana wajuaji ni wengi na kila mmoja anajiona ana haki kisa amelipia kadi. Wanachama wenyewe ndio hao, kuwashawishi hadi uweke supu!
 
Sio kila timu lazima iwe na wanachama, nyingine huwa za wamiliki. By the way timu za wanachama huwa ni ngumu kufanya management maana wajuaji ni wengi na kila mmoja anajiona ana haki kisa amelipia kadi. Wanachama wenyewe ndio hao, kuwashawishi hadi uweke supu!
Timu inacheza mechi za klabu bingwa kwenye uwanja wake uwanja mweupe pee
 
azam fc auze hisa kwa wanachama hata 20 %. changes zitakuwa kubwa sana. wanachama wachague watu wa mpira other than that.

azam fc ni mke wa mtu.
 
Azam haina mashabiki kwa sababu waliopewa idara ya uhamasishaji wanajali mishahara zaidi kuliko klabu.

Licha ya Yanga kuwa na mafanikio lakini wanatumia njia nyepesi ya kuwalisha supu watu na kuwashawishi wanunue kadi za uanachama.


Azam mgekuwa mnawanywesha na kuwalisha mashabiki zenu hata juisi na ndazi mgepungukiwa nini huku mikoani?

Watu wanapenda kula nyinyi mpompo tu.

Popati fukuza hao watu weka watu wa marketing wakusaidie uepuke aibu ya kukosa mashabiki hapo hapo chamanzi kwenye mkoa wenye watu wengi kuliko mikoa yote.

Nawasilisha
Kwa hapa bongo haitatokea timu zingine kuwa na fanbase au brand kubwa sawa na yanga na simba.

Hao unaofikiri ni mashabiki wa azam kiuhalisia ni mashabiki wa simba na yanga, ambao wanaishangilia azam kwa mechi moja tu kutegemeana na matokeo wanayoyataka yaani azam akicheza na simba yanga wanakua azam na akicheza na yanga simba wanakua azam.

Hao azam wajikite tu kwenye kutangaza bidhaa zao na kutengeneza timu kwa ajiri ya mashindano ya CAF maana kule ndipo kwenye hela ya maana
 
Hata hiyo ni njia nzuri mkuu

Unatangaza bidhaa za azam huku mwanza na Bariadi ni juisi za jambo azam anapumulia mashine

Wakitangaza kuna supu huku kwa wasukuma nakuhakikishia kirumba itajaa mpaka kwenye korido

Unapomshawishi mtu wa mikoani tmia akili ndogo tu
LAbda huko Azam alete matasha ya tivoli ndio atapata Mashabiki wakumwaga vinginevyo ni uongo.
 
Azam haina mashabiki kwa sababu waliopewa idara ya uhamasishaji wanajali mishahara zaidi kuliko klabu.

Licha ya Yanga kuwa na mafanikio lakini wanatumia njia nyepesi ya kuwalisha supu watu na kuwashawishi wanunue kadi za uanachama.


Azam mgekuwa mnawanywesha na kuwalisha mashabiki zenu hata juisi na ndazi mgepungukiwa nini huku mikoani?

Watu wanapenda kula nyinyi mpompo tu.

Popati fukuza hao watu weka watu wa marketing wakusaidie uepuke aibu ya kukosa mashabiki hapo hapo chamanzi kwenye mkoa wenye watu wengi kuliko mikoa yote.

Nawasilisha
Kwani Azam ni timu ya Wanavhama? Au mnataka mjipenyeze kijanja kwa Bakhresa ili muanze kufai urithi?
 
Back
Top Bottom