bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
FT Simba(mwenyeji) 1 Namungo(Mgeni) 1
Narudia kusema tena na ntazidi kusema Ingekuwa ni Simba timu pendwa ya Baba/TFF wangekutana na ratiba ile ya yanga wangedondosha pointi zote washukuru TFF wanawapendelea waziwazi kwa kuwapa ratiba soft.
Baada ya Yanga kupata Ushindi wa goli moja dhidi ya Namungo wakiwa na kocha Cedric Kaze watu hasa mashabiki wa Simba walipiga nduru sana mtaani kwamba Yanga Mbovu, Yanga imeshuka kiwango maneno chungu mzima wakisahau wao bado hawajakutana nao tukumbuke hapo Yanga ilitoka kugawa vipigo vizito vya tano tano.
Leo waliokuwa wanapiga kelele Yanga imebahatisha ushindi wa goli moja dhidi ya Namungo ndio hao wameishia kugawana pointi pale Uhuru Stadium wajuvi wa mambo walisema usitukane mto kabla ya kuvuka mamba almanusura Viboko watoboe mtumbwi leo.
Kwa ushauri tu Simba wachaneni na Uswahili na Propaganda za Kina Ahmed Ally mpira siku hizi ni Sayansi.
Ikisema Roma imesema.
Narudia kusema tena na ntazidi kusema Ingekuwa ni Simba timu pendwa ya Baba/TFF wangekutana na ratiba ile ya yanga wangedondosha pointi zote washukuru TFF wanawapendelea waziwazi kwa kuwapa ratiba soft.
Baada ya Yanga kupata Ushindi wa goli moja dhidi ya Namungo wakiwa na kocha Cedric Kaze watu hasa mashabiki wa Simba walipiga nduru sana mtaani kwamba Yanga Mbovu, Yanga imeshuka kiwango maneno chungu mzima wakisahau wao bado hawajakutana nao tukumbuke hapo Yanga ilitoka kugawa vipigo vizito vya tano tano.
Leo waliokuwa wanapiga kelele Yanga imebahatisha ushindi wa goli moja dhidi ya Namungo ndio hao wameishia kugawana pointi pale Uhuru Stadium wajuvi wa mambo walisema usitukane mto kabla ya kuvuka mamba almanusura Viboko watoboe mtumbwi leo.
Kwa ushauri tu Simba wachaneni na Uswahili na Propaganda za Kina Ahmed Ally mpira siku hizi ni Sayansi.
Ikisema Roma imesema.