KERO Wakatisha tiketi wa UDART kwanini hamturudishii chenji abiria?

KERO Wakatisha tiketi wa UDART kwanini hamturudishii chenji abiria?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

nyaunyau

Senior Member
Joined
Oct 28, 2009
Posts
137
Reaction score
27
Abiria wanalalamika chenji hamrudishi kwa visingizio hamna chenji.

Abiria ukitoa 1000 chenji 250 unaambiwa simama pembeni subiri chenji kama una haraka unamwachia chenji.

Hii hajakaa sawa kabisa wahusika fuatilieni vituoni kutatua kero hii.
 
Abiria wanalalamika chenji hamrudishi kwa visingizio hamna chenji,Abiria ukitoa 1000 chenji 250 unaambiwa simama pembeni subiri chenji kama una haraka unamwachia chenji.Hii hajakaa sawa kabisa wahusiaka fuatilieni vituoni kutatua kero hii.
Wakale wapiiiiii sasa, na hapo ndo kamba yao ilipo??
 
Kila mtu anakula sehemu yake

Ova
 
Abiria wanalalamika chenji hamrudishi kwa visingizio hamna chenji,Abiria ukitoa 1000 chenji 250 unaambiwa simama pembeni subiri chenji kama una haraka unamwachia chenji.Hii hajakaa sawa kabisa wahusiaka fuatilieni vituoni kutatua kero hii.
Hao ni majambazi wakubwa na inajulikana sema wanachekewa tu. Nahisi hako ni ka mnyororo ka wakubwa wengi. Hasa hasa kituo cha ferry ndio balaa.... na hivi vya katikakati nyakati za usiku kama pale ubungo maji...
 
Hao ni majambazi wakubwa na inajulikana sema wanachekewa tu. Nahisi hako ni ka mnyororo ka wakubwa wengi. Hasa hasa kituo cha ferry ndio balaa.... na hivi vya katikakati nyakati za usiku kama pale ubungo maji...
Bila kupasahau KIMARA MWISHO
 
Si naweza nikawa na salio na mashine nikawa independent ticket issuer hii imekaaje Waze wenye uzoefu please mwagikeni
 
Abiria wanalalamika chenji hamrudishi kwa visingizio hamna chenji,Abiria ukitoa 1000 chenji 250 unaambiwa simama pembeni subiri chenji kama una haraka unamwachia chenji.Hii hajakaa sawa kabisa wahusiaka fuatilieni vituoni kutatua kero hii.
Wanakula kwa urefu wa kamba yao.
Mambo ya hovyo sana haya
 
Back
Top Bottom