Wakatoliki Tujifunze: Tukumbushane Amri za Kanisa!

Hapo ndo sawa na "Kaa akiinua gando mambo yamekwisha" Hakuna swali.
Naupenda sana UKATOLIKI na UTARATIBU wake MADHUBUTI. Hiyo ndiyo Church Hierarchy.
Asante sana!
 
Vema Mtumishi Alfred

Wapingaji wa Amri ya pili ya Kanisa huwa nawashangaa.. huu Ni utaratibu wetu. Mtu akitaka kuuelewa aende Mafundisho ya Imani Katoliki katika Parokia iliyo karibu naye.

Ikiwa Unaona Kwa Yesu Gharama, Jaribu Pepo.
 
Ukatoliki una mambo ya kijinga jinga hadi kinyaa
Mkuu chutama upo uchi kwa maneno uliyotoa hapa dhidi ya ukatoliki..usipende kujionyesha jinsi ulivyo mtupu kichwani mwako kwa kushindwa kuheshimu madhehebu ya watu.mbona wahindi na ng'imbe wao huzungumzii..narudia tena kukuambia chutama mkuu
 
Vema Mtumishi Alfred

Wapingaji wa Amri ya pili ya Kanisa huwa nawashangaa.. huu Ni utaratibu wetu. Mtu akitaka kuuelewa aende Mafundisho ya Imani Katoliki katika Parokia iliyo karibu naye.

Ikiwa Unaona Kwa Yesu Gharama, Jaribu Pepo.
Amina sana Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…