Uchaguzi 2020 Wakazi achukua fomu kugombea Ubunge Ukonga kupitia ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Wakazi achukua fomu kugombea Ubunge Ukonga kupitia ACT Wazalendo

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rasmi leo mwanamuziki wa hip hop ndugu, Webiro Wasira alimaarufu Kwa jina la Wakazi achukua fomu yakuomba ridhaa ya chama cha ACT Wazalendo ya kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga katika Uchaguzi Mkuu ujao Oktoba 2020.

1594733958455.png
 
Watoto wa siku hizi ukisema wakazi wanajua ni kundi hilo aiseeeeeeeeee.
 
Back
Top Bottom