Wakazi Vs Godzilla yupi ni master


Nimewahi kumsikiliza jamaa kama mara 3 au 4 hivi, ila ni kichefu chefu. Moja, hajui hata matamshi na matumizi sahihi ya lugha, iwe kiswahili au kingereza anacholazimisha. Pili, hana uwezo wa kujadili kabisa, anaropoka mno.

Kwa lugha ya rap, jamaa hana bars kabisa. Labda unionyeshe bob.
 
Hiyo session ilikuwa ya pili ya kwanza mashabiki walipiga kura akashinda zilla. Ila pia hakuna walichokifanya.

Atleast, zilla kwenye zile session za clouds miaka ile, he was something. Wakazi fresstyle hawezi kama umemsikiliza mwanzoni alifanya freestyle akashindwa round zingine akachana alichokiandika.

Wamepambanisha asiyeweza vs aliyekuwa anajaribu ila kwasasa hawezi.
 
Bro achana na rap za baada ya kutoka kujifananisha ni 50 rudi nyuma usikilize free style zake kabla hajatoka na rap zake za mwanzoni alikua na kipaji kikubwa...

Btw amekua na muda mfupi sana kwenye Game hasikiliziki tena kwa sasa
 
Bro achana na rap za baada ya kutoka kujifananisha ni 50 rudi nyuma usikilize free style zake kabla hajatoka na rap zake za mwanzoni alikua na kipaji kikubwa...

Btw amekua na muda mfupi sana kwenye Game hasikiliziki tena kwa sasa

Kuna namna moja tu pekee ya kunishawishi kumsikiliza jamaa, nipe bars zake chache tu ambazo umewahi kuzikubali kuwa zina maana.
 
Kuna namna moja tu pekee ya kunishawishi kumsikiliza jamaa, nipe bars zake chache tu ambazo umewahi kuzikubali kuwa zina maana.
Boss Bars Zilla hakuna kabisa
hapo nimekuunga mkono ndugu mimi naongelea muundo na
mtindo wake wa rap upande wa fani vile anavyopita na beat
 
Sasa kama 50 cent yupo nimsikilize Zilla wa nini??

Haya kadata sasa.
 
Boss Bars Zilla hakuna kabisa
hapo nimekuunga mkono ndugu mimi naongelea muundo na
mtindo wake wa rap upande wa fani vile anavyopita na beat

Nimekusoma. Ndio maana nikamuita trash, anajua ku-rap juu ya beat ila hakuna anachosema. Mtindo wake haujawahi kunivutia pia kwa sababu anakopi na ana uelewa finyu wa anachokopi.
 
Kwahiyo. Mazishi yake yanafanyika huko huko salasala au mnasafirisha kuleta huku songea?
Hahaha Mkuu muonee huruma nafikiri hayuko sawa kichwani he looks drunk vilevile .

Free styles zake mara nyingi hua ni za kutaka tu kuviunga vina bila muktadha wa kueleweka.
 
Huyu huu mwakw hauish
Kama hajawafuata wenzake
Chid,ferooz,young d,nando.
 
Choice FM
I miss them
The last time I was there in march...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…