KERO Wakazi wa Bugarika hatuna maji na Mamlaka ya maji Mwanza imeuchuna tu

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Jamani eeee tusaidieni kupaza sauti Idara ya Maji hapa Mwanza imekuwa kero maana haijulikani ni mgawo wa maji au la!

Zaidi ya siku 4 hadi 5 hakuna maji Mtaa wa Bugarika na hakuna taarifa yoyote kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…