ween JF-Expert Member Joined Jul 20, 2016 Posts 414 Reaction score 129 Mar 16, 2017 #1 Habari ndugi zangu, Baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu bila mafanikio sasa nimeamua nifanye ujasiriamali, nahitaji mtu ambae tunaweza kushirikiana nae katika biashara hapa Dar, jinsia yoyote. Ni pm endapo unahitaji
Habari ndugi zangu, Baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu bila mafanikio sasa nimeamua nifanye ujasiriamali, nahitaji mtu ambae tunaweza kushirikiana nae katika biashara hapa Dar, jinsia yoyote. Ni pm endapo unahitaji
sizonjemadawa JF-Expert Member Joined Feb 11, 2017 Posts 1,053 Reaction score 1,304 Mar 16, 2017 #2 Mkuu umepanga biashara gani? Na ww unashiling ngapi
muvika online JF-Expert Member Joined Nov 27, 2016 Posts 374 Reaction score 283 Mar 16, 2017 #3 Biashara Gani?
Kukudume2013 JF-Expert Member Joined Jan 8, 2013 Posts 1,659 Reaction score 734 Mar 16, 2017 #4 MKUU UZOWEFU NI ASILMIA NGAPI UNAO?
Mgodo visa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2016 Posts 3,590 Reaction score 3,632 Mar 16, 2017 #5 Hamna kitu hapo...Tapeli tu..!! Kwanza unaonekana utakuwa MZIGO.. Kufanya matangazo tu ya BIASHARA kunakushinda...!!
Hamna kitu hapo...Tapeli tu..!! Kwanza unaonekana utakuwa MZIGO.. Kufanya matangazo tu ya BIASHARA kunakushinda...!!
ween JF-Expert Member Joined Jul 20, 2016 Posts 414 Reaction score 129 Mar 20, 2017 Thread starter #6 Tukutane sasa ili tupange mipango