Organic Live Food
Senior Member
- Aug 2, 2013
- 127
- 236
Wadau habari ya wakati huu.
Mwaka jana nilikuwa Dar maeneo ya tabata kisukulu. Nilienda kumsalimia mjomba.
Katika moja ya maongezi alinieleza mjukuu wake mmoja ambaye hasikii sana na anatabia mbovu
Nilimuuliza nyie mmetulea sn kwa viboko na adhabu ndogondogo mpaka tumenyooka
Vipi huyu mjukuu anawashinda nini?
Mke wa mjomba aliniambia majirani wakisikia ama kuona unampa adhabu mtoto ni bonge la kesi la unyayasaji wa mtoto.
Nilishangaa sana.
Akaongezea hata mtoto asipoonekana mtaani na watoto wenzie ni kesi kuwa unamfungia ndani unamnyanyapaa.
Sasa kumuacha mtoto azurure mtaani si chanzo cha kuongeza vibaka mtaani??
Naomba niulize wakazi wa Dar na mikoani je hili lipo kweli mtaani.?
Nishindwe kumnyoosha mtoto wangu anapopinda?
Ili nisiende magereza?
Mwaka jana nilikuwa Dar maeneo ya tabata kisukulu. Nilienda kumsalimia mjomba.
Katika moja ya maongezi alinieleza mjukuu wake mmoja ambaye hasikii sana na anatabia mbovu
Nilimuuliza nyie mmetulea sn kwa viboko na adhabu ndogondogo mpaka tumenyooka
Vipi huyu mjukuu anawashinda nini?
Mke wa mjomba aliniambia majirani wakisikia ama kuona unampa adhabu mtoto ni bonge la kesi la unyayasaji wa mtoto.
Nilishangaa sana.
Akaongezea hata mtoto asipoonekana mtaani na watoto wenzie ni kesi kuwa unamfungia ndani unamnyanyapaa.
Sasa kumuacha mtoto azurure mtaani si chanzo cha kuongeza vibaka mtaani??
Naomba niulize wakazi wa Dar na mikoani je hili lipo kweli mtaani.?
Nishindwe kumnyoosha mtoto wangu anapopinda?
Ili nisiende magereza?