Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Toka jana mida ya Saa 8 usiku hakuna umeme, ukarudi kwenye saa 11 na kukatika tena hadi sasa
Ubaya ni kuwa hakuna taarifa yoyote kutoka TANESCO kuhusu changamoto ya iliyosababisha katizo la Umeme
Kwanini TANESCO hamtujali wateja wenu? Unakataje Umeme kwa zaidi ya Saa 6 bila kutoa Taarifa?
Na hasara zilizojitokeza na zinazoendelea kujitokeza kutokana na ukosefu wa Umeme nani atazilipa?
TANESCO kwa kweli mnakera sana
Pia soma: KERO - TANESCO acheni ulaghai, kulikuwa na haja gani ya kusema mgawo umeisha huku watu wa Makongo Juu tukilala gizani siku 3 mfululizo?
Ubaya ni kuwa hakuna taarifa yoyote kutoka TANESCO kuhusu changamoto ya iliyosababisha katizo la Umeme
Kwanini TANESCO hamtujali wateja wenu? Unakataje Umeme kwa zaidi ya Saa 6 bila kutoa Taarifa?
Na hasara zilizojitokeza na zinazoendelea kujitokeza kutokana na ukosefu wa Umeme nani atazilipa?
TANESCO kwa kweli mnakera sana
Pia soma: KERO - TANESCO acheni ulaghai, kulikuwa na haja gani ya kusema mgawo umeisha huku watu wa Makongo Juu tukilala gizani siku 3 mfululizo?