MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Baada ya kundi la waasi wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) kuuteka mji wa Goma, na waliokuwa wamekimbia vita kurejea majumbani kwao, leo tarehe 1 Februari 2025, kuanzia saa kumi na mbili mpaka saa tano asubuhi, kushirikiana na viongozi wakuu wa kijeshi kwenye kundi hilo, wamefanya usafi kuhakikisha mji huo unakuwa na mazingira rafiki kwa wakazi.
Mji mzima ulizagaa nguo na vifaa vya wanajeshi wa Serikali na nguo za wazalendo, viatu, risasi ni vinginevyo. Kulikuwa pia na maiti zilizokuwa mitaroni, na zenyewe zilikuwa zikiondolewa.
Msemaji mkuu wa AFC/M23 Corneille Nanga, nae ameshiriki zoezi hilo.
View: https://x.com/i/status/1885753084162277604
Mji mzima ulizagaa nguo na vifaa vya wanajeshi wa Serikali na nguo za wazalendo, viatu, risasi ni vinginevyo. Kulikuwa pia na maiti zilizokuwa mitaroni, na zenyewe zilikuwa zikiondolewa.
Msemaji mkuu wa AFC/M23 Corneille Nanga, nae ameshiriki zoezi hilo.
View: https://x.com/i/status/1885753084162277604