DOKEZO Wakazi wa Kipunguni hawajalipwa fidia toka 2022

DOKEZO Wakazi wa Kipunguni hawajalipwa fidia toka 2022

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Wakazi wa Kipunguni kata ya Kipawa walifanyiwa tathmini 2022 ili kupisha upanuzi wa Uwaja wa Ndege wa JKIAP na zoezi kwenda vizuri lakini fidia zao zimekuwa kizingumkuti toka 2022, na Waziri wa fedha alikuja 2023 akasema wataanza kulipa mwezi wa nane au wa tisa 2023 lakini mpaka sasa hawajalipa na Serikali ipo kimya na maisha ya wakazi wa Kipunguni yanazidi kuwa shida.
 
Sisi wa Kimara, Mbezi , Kibamba tangu 2017 septemba bado hatujalipwa, naona mbunge wa hapo Matikila anazunguka tu.
 
Back
Top Bottom