Wakaazi wa Mbeya wafika nyumbani kwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa ya CHADEMA kumjulia hali baada ya kurejea kutoka Dar es Salaam
View: https://m.youtube.com/watch?v=2wVM_yYq-AU
ambapo alipelekwa chini ya escort ya polisi baada ya askari hao kumpiga vibaya kiongozi huyo mwandamizi wa CHADEMA aliyekuwa ktk matayarisho ya kuadhimisha siku ya Vijana Duniani ambayo CHADEMA ilikuwa imepanga kufanyika kitaifa mjini Mbeya...
Wazee wa CHADEMA mjini Mbeya nao wafika nyumbani kwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa CHADEMA na kutoa neno zito baada ya kumuona Joseph Mbilinyi...
View: https://m.youtube.com/watch?v=2wVM_yYq-AU
ambapo alipelekwa chini ya escort ya polisi baada ya askari hao kumpiga vibaya kiongozi huyo mwandamizi wa CHADEMA aliyekuwa ktk matayarisho ya kuadhimisha siku ya Vijana Duniani ambayo CHADEMA ilikuwa imepanga kufanyika kitaifa mjini Mbeya...
Wazee wa CHADEMA mjini Mbeya nao wafika nyumbani kwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa CHADEMA na kutoa neno zito baada ya kumuona Joseph Mbilinyi...