Mamluki hawakuwemo kwenye msafara!!Wakaazi wa Mbeya wafika nyumbani kwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa ya CHADEMA kumjulia hali baada ya kurejea kutoka Dar es Salaam
View: https://m.youtube.com/watch?v=2wVM_yYq-AU
ambapo alipelekwa chini ya escort ya polisi baada ya askari hao kumpiga vibaya kiongozi huyo mwandamizi wa CHADEMA aliyekuwa ktk matayarisho ya kuadhimisha siku ya Vijana Duniani ambayo CHADEMA ilikuwa imepanga kufanyika kitaifa mjini Mbeya...
Wazee wa CHADEMA mjini Mbeya nao wafika nyumbani kwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa CHADEMA na kutoa neno zito baada ya kumuona Joseph Mbilinyi...
" The past is never dead. It's not even past" - William Faulkner
Ujinga mzigoMzee Sugu aache utoto..keshazeeka
Sure kwa ushetani aliomfanyia mtumishi wa Mungu Msigwa akishirikiana na Mrema for sure hawezi mshinda MunguShetani hajawahi kumshinda Mungu
Aliyepewa hela ya Abdul aangukia pua na kuungana na AbdulSure kwa ushetani aliomfanyia mtumishi wa Mungu Msigwa akishirikiana na Mrema for sure hawezi mshinda Mungu
According to lisu hela alipewa sugu nyingine akamnunulia bia mremaAliyepewa hela ya Abdul aangukia pua na kuungana na Abdul
Una kichwa kigumu sanaAccording to lisu hela alipewa sugu nyingine akamnunulia bia mrema
We ndio unakichwa kigumu aliyemhoga bia msimamizi wa uchaguzi anajulikanaUna kichwa kigumu sana
Masikini bhana! hivi bia ya buku jero ndio rushwa ya kupata cheo hiyo?We
We ndio unakichwa kigumu aliyemhoga bia msimamizi wa uchaguzi anajulikana
Ndio ujue chadema mlivyo wa hovyo yaani mtu anapata cheo kikubwa cha kikanda kwa hongo ya bia sasa vyeo vya chini huko si kutakuwa kumeoza?Masikini bhana! hivi bia ya buku jero ndio rushwa ya kupata cheo hiyo?
ThibitishaNdio ujue chadema mlivyo wa hovyo yaani mtu anapata cheo kikubwa cha kikanda kwa hongo ya bia sasa vyeo vya chini huko si kutakuwa kumeoza?
Muulize sugu na Mrema walikuwa wapi siku moja kabla ya uchaguziThibitisha