KERO Wakazi wa Mtaa wa Kanuni – Mabibo hatuna huduma ya maji, huu mwezi wa pili

KERO Wakazi wa Mtaa wa Kanuni – Mabibo hatuna huduma ya maji, huu mwezi wa pili

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Sisi Wakazi wa Kata ya Mabibo, Mtaa wa Kanuni hapa Dar es Salaam tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kwa muda wa miezi miwili sasa.

Maji hayatoki kabisa huku kwetu na siku yakitoka ni ndani ya nusu saa au saa moja, kwa ufupi yakitoka hayawezi kuendelea muda mrefu yanakatika tena.

Sijui huwa wanayafunga? Ajabu ni kuwa mitaa ya jirani maji yapo, so watufungulie maji, viongozi wa mtaa wakiulizwa wanadai wanafuatilia ila hakuna mabadiliko yoyote.

Mamlaka za maji ikiwemo Wizara ya Maji na Waziri Aweso naomba sikia kilio chetu.
 
Sasaa mnaishije ndugu zangu maana maji n uhai au ndio kununua domo Moja elfu Moja na mia tano
 
Sisi Wakazi wa Kata ya Mabibo, Mtaa wa Kanuni hapa Dar es Salaam tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kwa muda wa miezi miwili sasa...
acheni uzembe, shida kubwa hivyo na mpo kimya , why hamwanamani hata siku moja mkafunga barabara
mmekaa kizembe sana
 
Sisi Wakazi wa Kata ya Mabibo, Mtaa wa Kanuni hapa Dar es Salaam tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kwa muda wa miezi miwili sasa.

Maji hayatoki kabisa huku kwetu na siku yakitoka ni ndani ya nusu saa au saa moja, kwa ufupi yakitoka hayawezi kuendelea muda mrefu yanakatika tena.

Sijui huwa wanayafunga? Ajabu ni kuwa mitaa ya jirani maji yapo, so watufungulie maji, viongozi wa mtaa wakiulizwa wanadai wanafuatilia ila hakuna mabadiliko yoyote.

Mamlaka za maji ikiwemo Wizara ya Maji na Waziri Aweso naomba sikia kilio chetu.
Mitano tena kwa Mama
 
Maji ni changamoto maneno mengi mjini daslam. Ila ninyi miezi miwili ni shida zaidi
 
Sisi Wakazi wa Kata ya Mabibo, Mtaa wa Kanuni hapa Dar es Salaam tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kwa muda wa miezi miwili sasa.

Maji hayatoki kabisa huku kwetu na siku yakitoka ni ndani ya nusu saa au saa moja, kwa ufupi yakitoka hayawezi kuendelea muda mrefu yanakatika tena.

Sijui huwa wanayafunga? Ajabu ni kuwa mitaa ya jirani maji yapo, so watufungulie maji, viongozi wa mtaa wakiulizwa wanadai wanafuatilia ila hakuna mabadiliko yoyote.

Mamlaka za maji ikiwemo Wizara ya Maji na Waziri Aweso naomba sikia kilio chetu.
Kipimo chake huu uchaguzi unaokuja ndiyo mtajijua mnaakili au hamnaakili
 
Miezi miwili bila maji na bado mnaishi
 
Sisi Wakazi wa Kata ya Mabibo, Mtaa wa Kanuni hapa Dar es Salaam tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kwa muda wa miezi miwili sasa.

Maji hayatoki kabisa huku kwetu na siku yakitoka ni ndani ya nusu saa au saa moja, kwa ufupi yakitoka hayawezi kuendelea muda mrefu yanakatika tena.

Sijui huwa wanayafunga? Ajabu ni kuwa mitaa ya jirani maji yapo, so watufungulie maji, viongozi wa mtaa wakiulizwa wanadai wanafuatilia ila hakuna mabadiliko yoyote.

Mamlaka za maji ikiwemo Wizara ya Maji na Waziri Aweso naomba sikia kilio chetu.
Mchagueni mbunge wa CCM mpate maji acheni kulalamika.
 
Back
Top Bottom