KERO Wakazi wa Mtaa wa Mwarakani wilaya ya Kibaha tunaomba kufikishiwa huduma ya maji

KERO Wakazi wa Mtaa wa Mwarakani wilaya ya Kibaha tunaomba kufikishiwa huduma ya maji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wakazi wa mtaa Mwarakani wanakumbana na changamoto ya maji kwani hudumu hiyo haijafikishwa kwenye makazi yao licha ya kuhangaika kusogeza huduma hiyo bila mafanikio kwenye maeneo yao.

Mamlaka husika zitusaidie kusogeza maji wananchi wako tayari kuchangia kusogezwa huduma hiyo.
 
Ni haki yenu kupata huduma hii, serikali sikivu itasikia kilio chenu
 
Back
Top Bottom