Wakazi wa Tanga namuulizia Sekambi

King mkucha

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
89
Reaction score
70
Kwa wakazi wa Tanga kuna mganga mmoja na sikia ni mtaalam hatarii anaitwa Sekambi. Kwa yeyote anayemfahamu anipe taarifa zake na kama na mawasiliano yanaweza kupatikana anisaidie basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…