wakazi wacha maneno bado ni underground, zilla ni bro wako kwa game

Wakazi hata fiesta hajawahi kupanda..big brother show za kike
 
Wakazi hata fiesta hajawahi kupanda..big brother show za kike
we fiesta ndio umeona show za kibabe??wakati cku hzi ndio imekuwa ya kuwatambulisha ma underground!! Mwaka jna umemuona diamond au kiba kweny hyo fiesta
 
Hit song ni nini?kupigwa sana kwenye radio sio kuwa na maana wewe umetengeneza hit song.kuna dogo anaitwa edo boy naye anapigwa pigwa sana redioni ila kama ushawahi kusikiliza mashairi yake yule hawezi kufikia hata kwa zilla wala wakazi ila ndio vile tena.
Hip pop ni majigambo lazima kila mtu ajigambe kujiona yeye bora...harmorapa alisema atafika level za kina fid q ([emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]).wakazi anapiga show zake mwenyewe, anauza mixtape zake, album inakuja soon...na anauza fresh tu magari,anaendesha maisha, anajenga,sasa sijui mafanikio ya kupigwa kwenye radio unaongelea au ni mafanikio yapi.
Bongo unaweza ukawa na hit song kibao ila mifukoni hamna kitu maana watu wanakunyonya kukuaminisha unatoboa na kutuaminisha wasikilizaji kuwa nyimbo ni nzuri kwa sababu inaruduwa nyimbo hiyo hiyo
Nakupa assignment::sikiliza clouds kesho alafu niambie nyimbo ya saida inapigwa mara ngapi kwa siku (saa 12 asubuhi mpaka saa 4 usiku) ni kama mara 5 au zaidi.....tunaaminishwa ni wimbo bora sana...ila wana mkakati wa kumrudisha kwenye chati so watampiga sana.....hit song sio kupigwa sana radio moja .....tafuta mixtape ya mtikila utabadilisha maono yako juu ya wakazi
 
Ule wimbo wa Saida sio mkali kihivyo lakini.....
 
Wakazi anasema nafasi ya Godzilla imechukuliwa na Bill nass
 
sawa mkuu

kwa maana hiyo kwa hapa bongo ni underground
 
Atoe wimbo mitaa ielewe huyo wakaz sijui otherwise anatafuta kutoka kwa jina la zilla
 
Sijui ndo kuwaza kwa kutumia makalio?? Hivi Zilla nani anamjua marekani?? Hata S.A zilla hawezi kwenda kufanya show Halafu kwa Akili zako za kiboya boya unasema umlinganishe Zilla Na WAKAZI?? Haaaa,haaaa au unataka tukupatie mawazo humu ili umjue WAKAZI ni nani?? Tafuta ngoma inaitwa KICHAA CHA MBWA AU MZIZIMA Utajua WAKAZI ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…