<br />Wanaume wakishapata mafanikio baada ya kusota sana na wake zao, ndio wanatafuta sasa wa ku spend nae, na mke wa ndo ndio hapo anasahalika
kwanini kila kitu kwenye ndoa kinakuwa defined na mali/pesa?
kwanini kila kitu kwenye ndoa kinakuwa defined na mali/pesa?
Na ndio maana wanafaidi zaidi ukilinganisha na wake wa kwanza.............
Wako ki maslahi zaidi. Ushaona masikini ana kimada???
jiandae kwa hilo hahahahahahahaHivi inamaana nikapata mafanikio nitakuwa na nyumba ndogo...!!!!!!!!!!
SIO KWELI!
<br /><font color="#696969"><span style="font-family: comic sans ms">Hivi inamaana nikapata mafanikio nitakuwa na nyumba ndogo...!!!!!!!!!!<br />
SIO KWELI!<br />
</span></font>
Bora hizo mali nimpe mama angu lakini sio kutafuta mke mdogo(vinagharama hivi acha tu)!jiandae kwa hilo hahahahahahaha
Amina naamini kwa aliyeniumba.never say never... muombe mungu akusaidie ndugu!
Bora hizo mali nimpe mama angu lakini sio kutafuta mke mdogo(vinagharama hivi acha tu)!
Bora hizo mali nimpe mama angu lakini sio kutafuta mke mdogo(vinagharama hivi acha tu)!
hilo nalo nenouna miaka mingapi kijana....
hilo nalo neno
kijana anataka hela zake ampelekee mama yake........
good though!