I mean tangu Mwezi wa 8 mnafanya Uchaguzi, huu ni mwezi 10 bado mnaandamana tu kulumbana kuhusu Uchaguzi, hivi hamna hobbies nyingine zaidi ya Maandamano na Siasa za 19th century?
hivi umeshapata uraia wa Kenya??We unadhani usiku tunafanya nini? Hapo sasa ndo tunapotolea stress zetu zote za siasa, ni kusawazishana tu vitovu hadi chee, hobby yetu kuu ya taifa. 😀
Nilipata uraia wa Kenya punde tu nilipozaliwa, pale Kajiado District Hospital, Kajiado, Kenya, kwa baba na mama wote raia wa Kenya.hivi umeshapata uraia wa Kenya??
Shenzi yako wee, mngekuwa wazuri kwenye soka CUF wangewapokonya maandalizi ya CHAN.Yet we are number one in every singke sport hata football kenya ranks 38 places above Tanzania
Kuwa mzuri kwa soka na kuwa na viwanja are two differnt thingsShenzi yako wee, mngekuwa wazuri kwenye soka CUF wangewapokonya maandalizi ya CHAN.
Kuwa mzuri kwa soka na kuwa na viwanja are two differnt things
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Lkn ameshagoma kushiriki Uchaguzi, hivyo ni mpaka 2018!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Shenzi yako wee, mngekuwa wazuri kwenye soka CUF wangewapokonya maandalizi ya CHAN.