Hakuna mkubwa , hakuna Cha mtoto, hakuna kiongozi Wala Nini....Kila mtu mjuaji....nchi haitawaliki.Siasa mpaka makanisani....vurugu, mabomu, KERO Kila mahali, Hali mbaya ya maisha, vitu bei juu... chakula hakuna.
Hakuna umoja wa kitaifa yaani kila mmoja kimoango wake. Hakuna Cha president Wala makamu wake...raia wanatukana viongozi na media zinasambaza na hakuna kuchukuliwa hatua eti ni freedom of expression.
Hii itawacost sana
Hakuna umoja wa kitaifa yaani kila mmoja kimoango wake. Hakuna Cha president Wala makamu wake...raia wanatukana viongozi na media zinasambaza na hakuna kuchukuliwa hatua eti ni freedom of expression.
Hii itawacost sana