Hicho ndicho kilichowafanya wakenya watuzidi maendeleo. Hawaabudu viongozi, wala hawako tayari kuvumilia ujinga.Hakuna mkubwa , hakuna Cha mtoto, hakuna kiongozi Wala Nini....Kila mtu mjuaji....nchi haitawaliki.Siasa mpaka makanisani...
mkuu,, kifo cha Akwilina kiliniumiza sana roho aisee... acha tuPamoja na vurugu zao bado bongo inasoma namba kwa almost every thing .
Askari wao wanafuata sheria, wa kwetu wanawarushia wananchi risasi za moto sometimes bila kosa ref. Kuuawa kwa Akwillina Akwilini