Wakenya hawajui kiswahili, watanzania tutumie fursa kuwafundisha

Wakenya hawajui kiswahili, watanzania tutumie fursa kuwafundisha

Mr worldwide

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2017
Posts
348
Reaction score
740
Wakenya hamueleweki ni lugha gani mnaimaster vizuri zaidi kuliko kati ya lugha zinazozungumzwa nchini mwao

Kiwashili hamuwezi, labda mtambe na lugha za kikabila tu kwani hata kiingereza pia mnafanana uwezo na wabongo

watanzania wajuzi na ndio wenye kiswahili tutumie fursa hii kupenya kenya kufundisha kiswahili fasaha!
 
Nyie kingereza ni shida tupu. Tanzania: 1) erodisi - LDC. 2) Mido Inkamu - middle income. 3) esijiara - SGR. 4) Ze plesident - The president.
 
Siyo kweli kwamba Wakenya hawajui Kiswahili, bali hawataki kuongea Kiswahili fasaha, hayo ni mambo 2 tofauti.

Kiswahili ni lugha ya Taifa Kenya, kwanza kwa Mji kama Nairobi ni Lugha ya kwanza ya karibia vijana wote, familia nyingi wanatumia Kiswahili kuwasiliana.

Hivyo kusema hawajui siyo kweli, sema wanakidharau Kiswahili hasa wale ,,wasomi“, kwani wanajifunza Shuleni lkn bado kutokuongea Kiswahili vizuri ni sifa kwao lkn kutokujua English vizuri ni aibu.
 
Siyo kweli kwamba Wakenya hawajui Kiswahili, bali hawataki kuongea Kiswahili fasaha, hayo ni mambo 2 tofauti.

Kiswahili ni lugha ya Taifa Kenya, kwanza kwa Mji kama Nairobi ni Lugha ya kwanza ya karibia vijana wote, familia nyingi wanatumia Kiswahili kuwasiliana.

Hivyo kusema hawajui siyo kweli, sema wanakidharau Kiswahili hasa wale ,,wasomi“, kwani wanajifunza Shuleni lkn bado kutokuongea Kiswahili vizuri ni sifa kwao lkn kutokujua English vizuri ni aibu.
Manyang'au ni malimbukeni sana! Ni ufahari gani wanaoupata kwa kuongea Kiswahili kibovu!

Halafu hata Kiingereza hawakijui pia. Lafudhi mbovu yenye matamshi mazito kama uji wa mtama!

Kiingereza gani kile cha kijinga vile!
 
Unanichukuliaje-utasikia "unanibebaje" .code mixing kibao haieleweki lugha yao ni ipi.poor kibera guyz
 
Manyang'au ni malimbukeni sana! Ni ufahari gani wanaoupata kwa kuongea Kiswahili kibovu!

Halafu hata Kiingereza hawakijui pia. Lafudhi mbovu yenye matamshi mazito kama uji wa mtama!

Kiingereza gani kile cha kijinga vile!
Ngoja aje mk254 panya road wa Nairobi.ila kakulia vingunguti na kiswahili chake cha kizaramu
 
Hii nchi kila kitu inataka ligi na Tanzania, kwa kiswahili mtagaragazwa mapema sana
Bora mfunge hizo bakuli zenu bila shuruti
 
Wakenya hamueleweki ni lugha gani mnaimaster vizuri zaidi kuliko kati ya lugha zinazozungumzwa nchini mwao

Kiwashili hamuwezi, labda mtambe na lugha za kikabila tu kwani hata kiingereza pia mnafanana uwezo na wabongo

watanzania wajuzi na ndio wenye kiswahili tutumie fursa hii kupenya kenya kufundisha kiswahili fasaha!

mnaimaster ndio kitu gani, Kiwashili ndio nini..
vizuri zaidi kuliko una maana gani hapo
Wewe ndiye tukutegemee uje kutufundisha Kiswahili, utarejeshwa kwa vibao.

Ukweli usiopingika, Watanzania huwa mnajisifia kuzungumza Kiswahili kwa ufasaha, lakini mtu akiamua awafuatilie kwa umakini, huwa mpo hovyo sana. Kwanza uandishi wenu hutia kinyaa.
Mnatia huruma maana Kingereza kilishawapiga chenga nchi yote hadi hata ikulu, lugha zenu za asili ndio hamzijui hata salamu, Kiswahili chenyewe labda Wazanzibari ndio nafuu, wengine wote hoi.

Kidogo rais Magufuli hunikosha pale anapozungumza lugha ya asili kama Kisukuma haswa akiwa mikoani, huwa naona anajaribu sana kuwasaidia mjitambue maana wengi wenu mpo mpo tu ilmradi siku ziende.
 
wadanganyika hawajui kifaransa,Wakenya tuwaelimishe
 
Wakenya hamueleweki ni lugha gani mnaimaster vizuri zaidi kuliko kati ya lugha zinazozungumzwa nchini mwao

Kiwashili hamuwezi, labda mtambe na lugha za kikabila tu kwani hata kiingereza pia mnafanana uwezo na wabongo

watanzania wajuzi na ndio wenye kiswahili tutumie fursa hii kupenya kenya kufundisha kiswahili fasaha!
Wacha ufyatu njoo mombasa ,lamu,kwale tukufunze kiswahili,kiswahili lahaja na hakuna lahaja iliyo bora kuliko ingine..kiswahili kilizaliwa huku baada ya ndoa ya warabu na mijikenda nenda kasome historia kabla ya kuanzisha uzi wa kinafiki
 
Back
Top Bottom