Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 740
Wakenya hamueleweki ni lugha gani mnaimaster vizuri zaidi kuliko kati ya lugha zinazozungumzwa nchini mwao
Kiwashili hamuwezi, labda mtambe na lugha za kikabila tu kwani hata kiingereza pia mnafanana uwezo na wabongo
watanzania wajuzi na ndio wenye kiswahili tutumie fursa hii kupenya kenya kufundisha kiswahili fasaha!
Kiwashili hamuwezi, labda mtambe na lugha za kikabila tu kwani hata kiingereza pia mnafanana uwezo na wabongo
watanzania wajuzi na ndio wenye kiswahili tutumie fursa hii kupenya kenya kufundisha kiswahili fasaha!