Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Nina swali dogo kwa watu wanaotoka Kenya hasa Nairobi, au hata wale waliowahi kuishi huko! Nilikuwa Nairobi kwa muda kidogo lakini kilichonishangaza sijawahi kuona Makaburi (cemetery) kama ilivyo hapa kwetu ambapo kila mahali utaona kuna sehemu maalumu iliyotengwa kwa ajili ya kuzikwa wafu, kwa mfano Makaburi ya Kinondoni, Kisutu, Sinza n.k Je, Wakenya huwa mnazikana wapi? Nyumbani au Mashambani? Ningependa tu kujua!