Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
baada ya Mt Kilimanjaro saa mmeamua kumuiba na samata mchana kweupe daaaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiona walisha hariri wakaweka Tz [emoji23][emoji23][emoji23]baada ya Mt Kilimanjaro saa mmeamua kumuiba na samata mchana kweupe daaaaahView attachment 1101229
baada ya kupigiwa kelele za mwiziNimeiona walisha hariri wakaweka Tz [emoji23][emoji23][emoji23]
Niliangalia edit history [emoji23][emoji23][emoji23]baada ya kupigiwa kelele za mwizi
smatta ndo nani?baada ya Mt Kilimanjaro saa mmeamua kumuiba na samata mchana kweupe daaaaahView attachment 1101229
Mchezaji bora kuliko hao wenusmatta ndo nani?
Kwanini hayuko UCL final kama Wanyama?Mchezaji bora kuliko hao wenu
Hivi ukiwa ucl ndo unakua Mchezaji boraKwanini hayuko UCL final kama Wanyama?
ukiwa a bigger teams means you are a better player. Belgian league ni some B rated leagueHivi ukiwa ucl ndo unakua Mchezaji bora
Tatizo la wakenya shobo nyingi, sijawahi kuona andiko wala bandiko likionesha tumejibinafsisha na chochote kile toka kenya ila hawa jamaa sio mchezo kuna kipindi hadi diamond walidai mkenya
Tatizo la wakenya shobo nyingi, sijawahi kuona andiko wala bandiko likionesha tumejibinafsisha na chochote kile toka kenya ila hawa jamaa sio mchezo kuna kipindi hadi diamond walidai mkenya
UpumbavuHehehe bila kuweka Kenya asingejulikana, walau sasa ameanza kutajwa tajwa na kufahamika, mlima Kilimanjaro bila ya sisi hamngepata watalii mnaowapata leo.