Wakenya imetosha sasa, mmeiba mlima Kilimanjaro sasa mmehamia kwa Samatta

Hahaha Samatta ndiye nani sasa? Hakuna mKenya anayemtambua. Tunao Origi na Wanyama ambao wapo kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE final. Tosha.
 
Seko sports tena ni akina nani? Definitely not a sports outlet from Kenya. Ina maana Kenya tuna sifa sana kwenye kandanda kila star anakua associated na sisi. Hehehe
 
Hehehe bila kuweka Kenya asingejulikana, walau sasa ameanza kutajwa tajwa na kufahamika, mlima Kilimanjaro bila ya sisi hamngepata watalii mnaowapata leo.
 
Tatizo la wakenya shobo nyingi, sijawahi kuona andiko wala bandiko likionesha tumejibinafsisha na chochote kile toka kenya ila hawa jamaa sio mchezo kuna kipindi hadi diamond walidai mkenya
 
Tatizo la wakenya shobo nyingi, sijawahi kuona andiko wala bandiko likionesha tumejibinafsisha na chochote kile toka kenya ila hawa jamaa sio mchezo kuna kipindi hadi diamond walidai mkenya

Hehehe vipi hukumbuki waziri wenu akitumia picha za SGR yetu kusifia ya kwenu.
 
Tatizo la wakenya shobo nyingi, sijawahi kuona andiko wala bandiko likionesha tumejibinafsisha na chochote kile toka kenya ila hawa jamaa sio mchezo kuna kipindi hadi diamond walidai mkenya
Tazama huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…