Wakenya jamani mbona huwa siwaoni jukwaa la love connect?

Habari JF...

Hua najiuliza mbona siwaoni waKenya kune love connect....

Au na nyie mna jukwaa lenu la love connect???

Jamani kikuyu,luhyas etc hamtutaki wanawake wa tzee???

Na nyie Kenyan female hamtaki mabwana zetu???

Wakenya wacha wapambane wenyewe na sisi watz tunawezana wenyewe
 
Habari JF...

Hua najiuliza mbona siwaoni waKenya kune love connect....

Au na nyie mna jukwaa lenu la love connect???

Jamani kikuyu,luhyas etc hamtutaki wanawake wa tzee???

Na nyie Kenyan female hamtaki mabwana zetu???

Itabid uwafate tu huko nakuru au kisumu............... [Emoji23][emoji23][emoji23]

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…