Kwenye airtime unaweza kupiga ukapata madeal zaidi na zaidi, ila kula ni nzuri pia na wakati mwingine ni mbaya....inategemea unakula nini na kwa wakati gani. Kama ni ku"skip" lunch na kupata dinner au ku"skip" dinner na kupata lunch sio mbaya sana. Kwasababu kama wangekuwa hawali kabisa wangekufa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.