Kwenye airtime unaweza kupiga ukapata madeal zaidi na zaidi, ila kula ni nzuri pia na wakati mwingine ni mbaya....inategemea unakula nini na kwa wakati gani. Kama ni ku"skip" lunch na kupata dinner au ku"skip" dinner na kupata lunch sio mbaya sana. Kwasababu kama wangekuwa hawali kabisa wangekufa.