Wakenya kwa masuala ya directing na kuandaa filamu wako ahead of us

Wakenya kwa masuala ya directing na kuandaa filamu wako ahead of us

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Mimi si mpenzi sana wa filamu za kiafrika labda za South na zimbabwe kama neria, yellow card, Jerusalem na nyingine na soap operas kama isidingo n.k.
Ila kuna baadhi ya tamthlia za kenya nilianza kujikuta nazipenda miaka hiyo ya 2014/15 kwa dstv lakini nilikuwa nimemezwa zaidi na series.
Recently nimeajikuta kwa dababu ya familia nimeanza tena kufuatilia tamthlia mara moja moja nikiwa home.
Nikichogundua Wakenya wanajua kuandika na kudirect.
Ukitazama KINA, Crime and justice ukatazama IGIZA utaona Juakali sijui Huba bado sana.
Kwanza story zao zina mtiririko unaomake sense hazikuachi sana na maswali. Yani mwandishi anahakikisha mambo mengi yana majibu sio bora liende.
Pili story zetu zinafika sehemu ni kama zinakuwa haziendi story imesimama, ila story za wakenya ziko quick na wana matukio mengi.
Ukitazama session ya Kina ya kesi ya bella dhidi ya nana mandi, yani pale mahakamani wanasheria walivyokuwa wana argue unaweza kuhisi pale ni mahakamani kweli. Wanavyojenga hoja, mwenzake akazipinga utajua huenda akiyeandika alikuwa mwanasheria.
Kenyans wako mbele kwenye upande wa movies lakini wana haki maana wameanza zamani enzi tunawatazama akina masakuu, makanyaga, mama kayai. Igiza imenifanya hadi niwaze lipia showmax maana dstv wanaonyesha weekend tu
 
Wanajua kuchagua waigizaji wenye vipaji. Bongo huku sifa mwanaume uwe body ya mazoezi, hb,shombeshome nk kwa mwanamke uwe na shape ya maana au sura nzuri kuhusu uigizaji utajua mbele ya safari.
Yan sijui nan kanzisha ujinga huu kwamba movie ili iwe nzur lazima star awe shombeshombe hb, pale kwenye huba wamejaza warembo wakutosha ili movie iwe nzur
 
Yan sijui nan kanzisha ujinga huu kwamba movie ili iwe nzur lazima star awe shombeshombe hb, pale kwenye huba wamejaza warembo wakutosha ili movie iwe nzur
Inawezekana kuna rushwa ya ngono. Bongo kwa sasa 70% ya waigizaji tunao waona kwenye TV hawana talent za uigizaji, ila uzuri wao ndio umewabeba na kupata nafasi za uigizaji.
 
Inawezekana kuna rushwa ya ngono. Bongo kwa sasa 70% ya waigizaji tunao waona kwenye TV hawana talent za uigizaji, ila uzuri wao ndio umewabeba na kupata nafasi za uigizaji.
Kuna dada anaigiza kama teja akiwa na Kitale, ana uzuri gani yule?? Ebitoke??
 
Mimi si mpenzi sana wa filamu za kiafrika labda za South na zimbabwe kama neria, yellow card, Jerusalem na nyingine na soap operas kama isidingo n.k.
Ila kuna baadhi ya tamthlia za kenya nilianza kujikuta nazipenda miaka hiyo ya 2014/15 kwa dstv lakini nilikuwa nimemezwa zaidi na series.
Recently nimeajikuta kwa dababu ya familia nimeanza tena kufuatilia tamthlia mara moja moja nikiwa home.
Nikichogundua Wakenya wanajua kuandika na kudirect.
Ukitazama KINA, Crime and justice ukatazama IGIZA utaona Juakali sijui Huba bado sana.
Kwanza story zao zina mtiririko unaomake sense hazikuachi sana na maswali. Yani mwandishi anahakikisha mambo mengi yana majibu sio bora liende.
Pili story zetu zinafika sehemu ni kama zinakuwa haziendi story imesimama, ila story za wakenya ziko quick na wana matukio mengi.
Ukitazama session ya Kina ya kesi ya bella dhidi ya nana mandi, yani pale mahakamani wanasheria walivyokuwa wana argue unaweza kuhisi pale ni mahakamani kweli. Wanavyojenga hoja, mwenzake akazipinga utajua huenda akiyeandika alikuwa mwanasheria.
Kenyans wako mbele kwenye upande wa movies lakini wana haki maana wameanza zamani enzi tunawatazama akina masakuu, makanyaga, mama kayai. Igiza imenifanya hadi niwaze lipia showmax maana dstv wanaonyesha weekend tu
Yanii rubbish kabisaa..hebu katazame Muhvango au Isidingo..au ile ya wakenya Tausi..sisi huku mziki tuu ushakua pornmusic sembuse movie
 
Tz Bado sana storyline hazieleweki watu wa exadurate matukio, mtu analia Hadi makamasi yanamtoka wtf.hiyo juakali ndio hovyo kabisa , ila kina na igiza 🙌🙌
 
Tanzania hatuendi mbele yaani kanumba still hana mpinzani japo amefariki kitambo
 
Kwa afrika hakuna kitu , ata wakenya hawajui kitu
 
Wanajua kuchagua waigizaji wenye vipaji. Bongo huku sifa mwanaume uwe body ya mazoezi, hb,shombeshome nk kwa mwanamke uwe na shape ya maana au sura nzuri kuhusu uigizaji utajua mbele ya safari.
Wanajua kuchagua waigizaji wenye vipaji. Bongo huku sifa mwanaume uwe body ya mazoezi, hb,shombeshome nk kwa mwanamke uwe na shape ya maana au sura nzuri kuhusu uigizaji utajua mbele ya safari.
Mfano kwenye huba!! Hadi unasikia kichefu chefu
 
Tatizo la Wabongo hawatafuti watunzi mahiri wawaandikie Stori.
Stori nyingi ni nyepesi na zakitoto, mapenzi na hazina ubunifu.
Waigizaji Hawana kosa lolote, hapo ni watunzi na waongoza filamu ndio wenye shida
 
Tamthilia za kibongo DSTV haziishi. Zinakatika tu,unaambiwa subiri season 2.
 
Back
Top Bottom