ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
Mbona nchi yenu iko vizuri, na kilichopelekea kukengeuka ni nini? Haya maandamano naona kama hayana maana yoyote kwa sababu sioni mahala mnapo gombania.
Mmeweka mambo jumla jumla hamtaki kutafuta mchawi wenu mmekaa mnapiga makelele tu.
Endeleeni, msimu wa mvua unaenda kuisha hakuana chakula cha bule. Utakuala ulipoacha matumizi.
Mmeweka mambo jumla jumla hamtaki kutafuta mchawi wenu mmekaa mnapiga makelele tu.
Endeleeni, msimu wa mvua unaenda kuisha hakuana chakula cha bule. Utakuala ulipoacha matumizi.