Wakenya Maandamano yanawasaidia?

ThisisDenis

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
162
Reaction score
139
Mbona nchi yenu iko vizuri, na kilichopelekea kukengeuka ni nini? Haya maandamano naona kama hayana maana yoyote kwa sababu sioni mahala mnapo gombania.

Mmeweka mambo jumla jumla hamtaki kutafuta mchawi wenu mmekaa mnapiga makelele tu.

Endeleeni, msimu wa mvua unaenda kuisha hakuana chakula cha bule. Utakuala ulipoacha matumizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…