Wakenya maisha yazidi kuwachanganya; POLISI magereza auliwa bila sababu

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Majirani mnaendeleaje?. Kawaida kutoa uhai wa mtu ni lazima kuwe na sababu, iwe sababu ya msingi au ya kipuuzi, lakini ikifikia hatua ya mtu kutoa roho ya mtu kwa lengo la kujidhalilisha, hii inakua ni hatua mbaya ambayo hata Wanyama porini hawafanyi unyama huu.
 
Ni kawaida.to fulfill the nature,some fool people must be killed
 
Lazima kutakua na sababu?
Mazingira ya majaji yalikua je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…