Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hii Kali, sijui kama mitambo yake ya kuua nguvu za kiume itafanya kazi hapo kwakoHehehe!! Mtafungua nyuzi ngapi kuhusu huyu jamaa...
Kakitu kangu kako salama kwa kutumia huu mfumo hapa
Ndio huyuhuyukuna Askofu mmoja alikuwa anatukana wachungaji zake madhabahuni.
Ndio huyuhuyu
shenzi type kumbe ndio huyu?Ndio huyuhuyu
Mchungaji kama mganga, mganga anakuroga unakuwa hanithi, na huyu Mchungaji nnaye anakufunga nguvu za kiume, Mungu wa mbinguni hasikilizi maombi ya kichawi kama ya huyu mwehu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kavimbiwa sadaka?
Mamaeeee zakeMchungaji kama mganga, mganga anakuroga unakuwa hanithi, na huyu Mchungaji nnaye anakufunga nguvu za kiume, Mungu wa mbinguni hasikilizi maombi ya kichawi kama ya huyu mwehu
πππππππππ lol π khaka si kakitu ni kikituHehehe!! Mtafungua nyuzi ngapi kuhusu huyu jamaa...
Kakitu kangu kako salama kwa kutumia huu mfumo hapa
Hawa wachungaj fake wanazid kuongezeka tuu
Akamfunge baba ake kwanzaAkikufunga ndiyo utatia akili.
π [emoji14] [emoji854]
Mtoto mwenye baba hawezi kuwa muhuni hivyoAkamfunge baba ake kwanza
Hah ha haaaaAkikufunga ndiyo utatia akili.
π π π
Kojoleoπππππππππ lol π khaka si kakitu ni kikitu