Kenya 2022 Wakenya mnajidhalilisha kwa kuhoji 0.01%

Kenya 2022 Wakenya mnajidhalilisha kwa kuhoji 0.01%

Kenya 2022 General Election

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Hivi mmejaribu kuchukua kura ambazo kila mgombea amepata na kujaribu kuziweka into percentage with 2 decimal places?

Ukitumia kanuni za hesabu mtapata kilekile kilichotangazwa na IEBC.

Ila sasa ukishapata hizo figue huwezi kuanzia hizo percent kutafuta kura maana umezifanyia adjustment ili zibaki kwenye 2 decimal places.

Haya madai ya makamu mwenyekiti ni aibu kwa taifa lenu, mkiyale ataibuka mwingine na kuchukua percentage yake na kuzidisha na total vote alafu anapata kura nyingine ni robo au nusu na kuibuka kusema huu ni uongo hii kura nusu imepigwaje?

Tafuteni watu wa hesabu wafanye hizo hesabu upya kabla ya kutoka hadharani na kuonekana wapuuzi nyote
 
Hivi mmejaribu kuchukua kura ambazo kila mgombea amepata na kujaribu kuziweka into percentage with 2 decimal places?

Ukitumia kanuni za hesabu mtapata kilekile kilichotangazwa na IEBC.

ila sasa ukishapata hizo figue huwezi kuanzia hizo percent kutafuta kura maana umezifanyia adjustment ili zibaki kwenye 2 decimal places.

Haya madai ya makamu mwenyekiti ni aibu kwa taifa lenu, mkiyale ataibuka mwingine na kuchukua percentage yake na kuzidisha na total vote alafu anapata kura nyingine ni robo au nusu na kuibuka kusema huu ni uongo hii kura nusu imepigwaje?

tafuteni watu wa hesabu wafanye hizo hesabu upya kabla ya kutoka hadharani na kuonekana wapuuzi nyote
Wala haihitaji watu wa hesabu, wao wenyewe wameamua kujitoa ufahamu tu ili kumridhisha mzee ambaye huenda wamekula pesa yake! Unakumbuka huyo makamu alidai hiyo 0.01% inawakilisha kura zaidi ya laki moja!
 
Hivi mmejaribu kuchukua kura ambazo kila mgombea amepata na kujaribu kuziweka into percentage with 2 decimal places?

Ukitumia kanuni za hesabu mtapata kilekile kilichotangazwa na IEBC.

ila sasa ukishapata hizo figue huwezi kuanzia hizo percent kutafuta kura maana umezifanyia adjustment ili zibaki kwenye 2 decimal places.

Haya madai ya makamu mwenyekiti ni aibu kwa taifa lenu, mkiyale ataibuka mwingine na kuchukua percentage yake na kuzidisha na total vote alafu anapata kura nyingine ni robo au nusu na kuibuka kusema huu ni uongo hii kura nusu imepigwaje?

tafuteni watu wa hesabu wafanye hizo hesabu upya kabla ya kutoka hadharani na kuonekana wapuuzi nyote
Hujui hesabu?
 
Hujui hesabu?
watu msiojua hesabu kujua hiyo increament inatoka wapi ndiyo mnakimbilia kuchukua hizo pointi baada ya nukta na kuzidisha na total votes na kusema kuna kura kadhaa.

huku ni kudhihirisha ukilaza katika mahesabu.

kasome kwanza topic inaitwa "round off math"

ili kutoa zile percentage inabidi kuzifanyia round off, na ukifanya hivi namba unaizifanyia makadirio.

mfano 36.71645678202029228, hii ukiifanyia round off to 2 decimal places itakuwa 36.72

hiyo namba kiuhalisia haijafikia 36.72 lakini ili namba ziwe na maana kwa wasomi unaziondoa hayo manamba mengi.

ukiwa na 41.2233335567898 hii itakuwa 41.22, ambayo ni ndogo kuliko namba yenyewe.

kanuni za hesabu za round off ndivyo zinavyotaka.

sasa kama ulikuwa ukichukua namba original ukajumlisha utapata 100% lakini hizi ulizofanyia maboresho "rounf off" ili ziwe na mantiki kwa wasomaji ukijumlisha zinaweza kuzidi kidogo kwenye 100 au kupungua kidogo.

sasa ukiona mtu kajumlisha na kuchukua hizo errors zinazotengezwa na hiyo round off kusema kuna kura za ziada unajua huyu ni kulaza wa kutupwa.

wahuni mtaani wanaweza kufanya hivyo kwa maana uelewa wao kila mmoja anadhani ni mdogo lakini kwa maafisa wakubwa kama makamu mwenyekiti ni aibu tupu.
 
Straight to the point...

And please let's have meaningful discussion around it, sio matusi tu. Let's be objective towards it.

Voter Turnout.

1. Chebukati confirm that the voter turnout in 2022 elections were 65.4%.

2. That Chebutaki confirmed that some places in Makueni + Kakamega had manual identificatied voters, which were not captured by Kiems Kit.

Now let's interrogate the numbers.

2022 registered voters is 22,102,458

What we know up to now.

1. What chebutaki has declared, what is in the form 34c just few minutes uploaded, is
total votes in presidential election is 14,326,751 ( this includes all valid and spoilt votes)

2. If we do 65.4% of 22,108,458 it gives us 14,455,007


3. We have not added the manual votes from Makueni+ Kakamega on top of 14,455,007.

4. If we find the difference between 14,455,007 - 14,326,751 = 128,256.

5. Where are this votes? + The manual votes?
 
Back
Top Bottom