Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prime Minister of Tz is Kassim Majaliwa View attachment 1276255
Na alivyo muongo muongo na mwenye kauli zisizoaminika huyu hachelewi kuwa kawapiga fix kuwa yeye ni PMLabda yeye ndio kawapiga fix [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakenya walivyo wajinga, inawezekana amewadanganya na wameamini.Na alivyo muongo muongo na mwenye kauli zisizoaminika huyu hachelewi kuwa kawapiga fix kuwa yeye ni PM
Km sio PM ni nani?
Hah Hah 😅Labda yeye ndio kawapiga fix [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe mwerevu?wajinga
Na alivyo muongo muongo na mwenye kauli zisizoaminika huyu hachelewi kuwa kawapiga fix kuwa yeye ni PM
Tatizo huyo kabudi ni profesa na ukisikia MTU ni profesa tu ujue umekutana na mpuuzi ona hicho kiingishi anacho kiongea cha kujifunzia kwa ma MC wa mieleka au mabondia cha kuvuta maneno utadhani mc wa mabondiaLabda yeye ndio kawapiga fix [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazaaa ni mdudu WA wapi?Kabudi ndiyo amejitambulisha hivyo mara kazaaa kwa wadau hapo Kenya.
ukiona huelewi jambo ujue halikuhusu.Kazaaa ni mdudu WA wapi?