Mlitaka katiba mpya mkatengeneza, mkataka uchaguzi uwe free, fair and transparent na ikawa hivyo na Dunia nzima ikawasifia wakenya Kwa uchaguzi digital, Ruto akashinda, Odinga akaenda mahakamani akapigwa chini Kwa ushahidi wa wazi kutokana na mahakama ilikuwa live on TV's, Serikali ikaingia kazini, kukawa na changamoto ya ukame all over EA, ok tukavuka hapo.
Sasa hivi ni wakati wa mavuno bado mnapiga kelele bei ya UNGA, mnapiga kelele bei ya vitu Iko juu....so how could the price go down if you don't engage in production? Huku kwetu Tanzania saivi bei ya vyakula Iko chini, diesel imeshuka bei ( 2500 /L), tozo zimeondolewa, somehow life is making sense. Nauliza WAKENYA MNATAKA NINI HASA?
Kama ni haki na usawa Hilo msahau kwenye hii Dunia hakuna haki Wala usawa. Labda kama MNATAKA kuuana manake Hilo nalo mnaliweza. Kaeni chini mjiulize MNATAKA NINI HASA.
Sasa hivi ni wakati wa mavuno bado mnapiga kelele bei ya UNGA, mnapiga kelele bei ya vitu Iko juu....so how could the price go down if you don't engage in production? Huku kwetu Tanzania saivi bei ya vyakula Iko chini, diesel imeshuka bei ( 2500 /L), tozo zimeondolewa, somehow life is making sense. Nauliza WAKENYA MNATAKA NINI HASA?
Kama ni haki na usawa Hilo msahau kwenye hii Dunia hakuna haki Wala usawa. Labda kama MNATAKA kuuana manake Hilo nalo mnaliweza. Kaeni chini mjiulize MNATAKA NINI HASA.