Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,209
- 2,243
Umbea gani??Huu umbea tunaupenda Sana wabongo Hadi tukasahau ya muhimu kwa Nchi yetu.
Kavae kamisi sasa kama wanawake wengine .....Umbea gani??
Ndugu majirani mnafeli wapi?? Mnaandika vitu gani hivi sasa, isitoshe mnatutaja na sisi wote tunaonekana wapumbavu, choka mbaya bin mlala hoi. Dah! kwa hiyo mumeamua kuwa omba omba tena kwa lazima.View attachment 1124673View attachment 1124676View attachment 1124678
Hizo ni DM za Paul Okoye wa P square kuna mkenya kamwandikia hivo.Okoye ni jina la Nigeria.
Hio ni tabia ya Wanigeria.
Paul Okoye kwanza ni mwanamziki Nigeria. (P Square).
Sasa, wewe na upumbavu wako, utasema kwamba P Sqaure wanatapeli?
Tangu lini tapeli akapeana details zake za ukweli? Jina lake la ukwelil. Ama hata nchi yake ya ukweli?
We jamaa una kichwa kigumu kinomaOkoye ni jina la Nigeria.
Hio ni tabia ya Wanigeria.
Paul Okoye kwanza ni mwanamziki Nigeria. (P Square).
Sasa, wewe na upumbavu wako, utasema kwamba P Sqaure wanatapeli?
Tangu lini tapeli akapeana details zake za ukweli? Jina lake la ukwelil. Ama hata nchi yake ya ukweli?
Ndio sasa Paul Okoye amepost analalamika.Hizo ni DM za Paul Okoye wa P square kuna mkenya kamwandikia hivo.
Hakuna sehemu duniani isio na omba omba ila kuomba kwa style hio ni too much.This is nonsense mleta mada . Omba omba wa Tanzania ni wengi sana pia so take the big log off your eye 1st.
wanatia aibu huko USA wanaenda kututia tu aibu waafrica wenzao hamna cha maana wanachofanya zaidi ya ukahaba
walikuwa wanajikomba tu obama anawajulia wapi?Nasikia kila mkenya US anasemaga ana undugu na Obama.