Kama inachezwa mbona usiitoe kama mfano unatoa Ile ngoma iliyodharauliwa?
π π π π€£π€£π€£Nyengine zilizokimbizana na hiyo nyimbo
πππ
Wanaijeria wapi wame support??Wamelalamikia hao wote ila walioumia zaidi ni Wabongo. Wanaijeria hata wametusupport wakasema nchi lazima ikuze mziki wao. Wenye machungu tu ni wabongo - sijui ni kwa vile top musicians wa Bongo wamejengeka Kenya ama ni ile inferiority complex yao ya kawaida. Lakini nadhani pia hilo la soko muhimu linachangia maanake wasanii Wabongo hutengeneza hela nyingi Kenya kuliko bongo. Bila Kenya bongo hakuna msanii atajengeka.
Sasa unashangaaje hawa watu ambao wameweza kushabikia Ngoma za kuku kapanda baskeli toka enzi kushabikia upupu wa lamba lolo! Hapa ndipo walipofikia hata wa mwisho darasani ana mchango wake katika kumfanya wa kwanza asifiwe.Hii ndo nyimbo bora ya Kenya kwa mwaka 2018. π