Wakenya Mnawezaje kuishi maeneo ya Garisa and Mandela?

Wakenya Mnawezaje kuishi maeneo ya Garisa and Mandela?

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Aisee kama kuna kitu siwezi kufanya ni kuishi na Gaidi Next door!!
Sasa wakenya mnawezaje kuishi maeneo yanayopakana na somalia kama mandela na Garisa?

Usingizi unakujaje?
Hasa ukikumbuka shambulizi lile la garisa ndo silali kabisa?
 
Ila Garisa na Mandela kwa sehem kubwa wanaishi hao hao wasomali maana Hilo Jimbo kia asili ni Somalia ila wakenya wanaoishi maeneo hayo chamoto huwa wanakipata(refer mauaji pale chuoni)
 
IMG_1396.jpg

NAJIULIZA HADI INAFIKIA HATUA YA KUJENGA UKUTA KWELI MAMBO NI MAGUMU!


Ivi hata huu ukuta uliisha
 
Back
Top Bottom