Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Balaaa kubwa
Maeneo ambayo wenye mtazamo ya mito ya pombe na bikra ni wengi hua ni ngumu kuishi
Maeneo ambayo wenye mtazamo ya mito ya pombe na bikra ni wengi hua ni ngumu kuishi
🤣🤣🤣🤣Umejiandaa kupopolewa ngoja watoke kupata kahawaili bidi wawe wanaandaa magaidi mabikra ili kabla hajakulipua unajilia vyako
Dah nimecheka sana usipende uchokoziMaeneo ambayo wenye mtazamo ya mito ya pombe na bikra ni wengi hua ni ngumu kuishi
Ndo maisha yangu boss! Nakuaga na jeuri sana nyuma ya keyboard nje na hapo hata salamu tu ni kipengele Sasa siwezi kua mnyonge koteDah nimecheka sana usipende uchokozi
Slave master walituharibu sana, yaani tumekuwa kama mahayawaniNdo maisha yangu boss! Nakuaga na jeuri sana nyuma ya keyboard nje na hapo hata salamu tu ni kipengele Sasa siwezi kua mnyonge kote
Wametuzidi sana parefu Kwa kila nyanja na huu ukwel lazima tuukubaliSlave master walituharibu sana, yaani tumekuwa kama mahayawani
Wametuzidi sana parefu Kwa kila nyanja na huu ukwel lazima tuukubali
Hao hawana tofauti na Kuwa jirani yako hamas
Ni heri wahame wahamie Nairobi na Mombasa