Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Nawashangaa sana wakenya humu wanamtukana JPM kwa nyuzi fulani fulani nikama ni yeye ana mamlaka ya kulinda wananchi wakenya. Punguzeni jazba. Na kama mnahitaji usaidizi wa kimawazo mtafute maandishi ya Mwalimu nyerere "Non alignment" Movement. Mtajifunza mengi na muokoe mali na maisha inayo potelea somalia. Mkumbuke Tz ilipata pigo la ugaidi 1997 siku moja na ugaidi wa nairobi. Lakini Tz inavyo handle hizi issue ni tofauti sana na kenya. Na matunda ya sera zote mbili zipo wazi kwa kila mtu kuzitazama