Wakenya na matani yao

Mleta mada una damu tamu mpaka mbu wanakuja na vitafunio
 
Aki uko na macho kubwa hadi ukienda the Hague they say, And this must be the eye witness
 
Okumu; venye baba ako alivokuwa mshamba nilimnunulia soda bar akaondoka na kisoda akidhani ni mbegu akapande shamban.



Omoki; vile we ni mbaya mpaka ukakataliwa kuect movie za kutisha
 
Okumu; venye baba ako alivokuwa mshamba nilimnunulia soda bar akaondoka na kisoda akidhani ni mbegu akapande shamban.



Omoki; vile we ni mbaya mpaka ukakataliwa kuect movie za kutisha
Haahaaaa iyo ya pili noma
 
ati huko tz ako na candidate alijinyea kwa stage during election campaign?
 
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta.
 
Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…