wanaona mkuu ili sema hawana kitu cha kuongea ndio maana wanapita kimyakimya
Sio kweli wajaluo hatuna tabia za kishenz kama hizo[emoji34]Sio wote wengi ni wajaruo na wakikuyu alafu ndio Royal tribes dadadeki
Sasa kwanini ni kitendo common sana Kenya.Hicho kitendo hakihusiani na kuwa Mkenya,
Ingia google hapo ulipoandika kenya futa andika Tanzania alafu utapata result nyingi kama hizo ulizopata kenya.Sasa kwanini ni kitendo common sana Kenya.
Unapendaga watetea. Jibu hilo swali kwa niaba yao sasa.
Kwanini inafanyika sana Kenya?
Ubaguzi huana ujana wala uzee.wala haikuwa na haja ya kumjibu huyo mzee, mtu akizeeka hugeuka na kuwa kama mtoto.