Wakenya na matukio ya ubakaji wa wanyama hususan mbuzi

Wakenya ndo zaooo mpakaa Ng'ombeee...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Watungiwe sheria,, waruhusiwe tu kuoana na wanyama, itakuwa asili yao ni moja.
 
Sasa kwanini ni kitendo common sana Kenya.
Unapendaga watetea. Jibu hilo swali kwa niaba yao sasa.
Kwanini inafanyika sana Kenya?
Huyu jamaa bado humjui tu!? Kuna mwingine anairwa BAK wamejiunga kwenye mtandao wa Kenya Talk. Kila kukicha kuibua mada za kichochezi kuhusu TZ bahati mbaya mtandao huo umejaa thread za kikabila, wanaishia kupata wachangiaji wawili au mmoja. Wakati mwingine ni yeye anajiuliza na kujijibu.
 
Sio vema kuwatuhumu jirani zetu. Nafikiri haya yapo sehemu nyingi Afrika, Kenya wako macho kukemea maovu ndio maana haya yanaibuliwa sana.


ILA pamoja na hayo Wakenya wanapenda sana ngono, jaribu kwenda kwenye mahoteli ya kitalii hapa nchini ambako wakenya wengi ni mameneja uone. Cha ajabu dada zetu nao wanajirahisha sana kwa hawa watu....mbaya zaid huwa hawachagui wapi pa kula.

Nina case study nyingi za hoteli zilizoko porini na nyingine iko Moshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…