Wakenya nahitaji maoni yenu kuhusu kauli hii; "Nitajenga viwanda vya nguo na Tanzania tutakuwa tunapeleka mitumba yetu Ulaya"- Ahadi ya Rais JPM(2016)

This is Neo-colonialism. A perfect example of how the western countries would rather have Africa as dumping ground rather than use OUR raw materials to grow our industries. Sababu ya hio mkulima wa pamba aliye Mwanza, Busoga au Nyanza ataendelea kuumia!
 
I hope hujafufua uzi huu wa mwaka uliopita kwa nia mbaya jombaa. Jirani zetu wamepatwa na msiba, huu sio wakati wa majibizano.
 
Kwan na nyie zile IPAD mlizo aidiwa watapatiwa watoto wenu kwa school walishapatiwa ? Au zile stadium.mlizo aidiwa mshajengewa ? And the gay is about to leave the state house soon ! While magufuli still has five years again ...
Mbona tusi tena kwa wakubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…