Ila wazungu kwa figisu wako vzr sana aisee, EAC ilielewana kupiga marufuku nguo na viatu vya mitumba naona baadae ikabidi kua wapole tu maana US alipiga bonge moja la mkwara kwa yoyote yule atakayezuia nguo za mitumba kuuzwa nchini kwake, maana mitumba imeajiri wamarekani 40,000 huko Kwao.
Kuna nchi hapa EA yenyewe iliendelea kukataa mitumba kutoka US ikapewa adhabu ya 'No duty-free access to the American market',naona members wengine wa EAC ikabidi kua wapole tu.
Mabeberu hua yana fitna sana aisee.