Wakenya ndio wanaongoza duniani kufanyia wazungu homework

Lakini hizi haziwezi kupelekwa Tz sababu uandishi wao mbaya na kingereza kibovu sana. Hata afadhali Uganda aise.

Myopic people like you think like the way you do.
Teh teh
Those are donkey works. You have no difference with drag mules. We can refer you as white collar mules. The sober people can't be proud of such a work.
 
Heheehe! Hulipa sana hii, nakumbuka kuna kipindi niliifanya nikiwa kijana na-hustle mtaani, tulikua tunakesha kwenye cyber cafe na kuandika huku mfuko ukitunishwa na $$$ kupitia tovuti ya https://www.payoneer.com
Mchana watu wanakuona kwenye bar unapewa vitu taratibu hawakuelewi elewi mishe zako.

Kwa kweli watu tumetoka mbali, ila ni jambo nzuri sana maana inakujenga pia, unakuta hizo essays unaziandika kwa kutafiti kwanza, yaani inaboresha hata uandishi wako na uelewa wako, Wakenya vichwa sana hongera my country's youth, na ndio maana nguvu kazi ya Wakenya inatafutwa sana. Kila walipo wanakubalika...
 
Yaani mnajisikia fahari kuwasaidia wanafunzi WAVIVU NA VILAZA WAPITE masomo yao. Mnafanya assignments za watoto wazembe, halafu mnajiona mmeyapatia maisha.
Teh teh teh.
Halafu wanasema wameendelea wakati ni mabeki 3 wa wazungu hadi kwenye vichwa vyao
 
I worked for Mambo Microsystems for one year while it was still operating from a small office in Ruiru town. That was 2011to be precise. By then, the company was just starting out and am proud to be one of its pioneers. We used to write web content for the company and it was one pleasant experience. It is from here that I polished my article writing and academic writing skills. I know the founder, Mr. James Waititu, very well and we used to keep in touch for long after I left the company to run my own errands though we lost contact at some point. I am proud to see how this company has grown in leaps and bounds to establish it's name in the writing industry. The sky is the limit Mambo Microsystems!
 
Ata kwa ushoga mmewaunga juhudi mabeberu.mnakubalika sana hongereni sana
 
Labda nguvu kazi ya kukimbia marathon pekee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sijawahi ona watu toka nchi zingine wakijisifu kufanya homework za mwanafunzi WAVIVU na vilaza wa ulaya na marekani.
 
Yaani mnajisikia fahari kuwasaidia wanafunzi WAVIVU NA VILAZA WAPITE masomo yao. Mnafanya assignments za watoto wazembe, halafu mnajiona mmeyapatia maisha.
Teh teh teh.
Its not just assignments, its professional academic writing and research for degree studies
 
Hivi unajua what you have just justified here? Hii ni mbaya sana kujisifia.
 
Sijawahi ona watu toka nchi zingine wakijisifu kufanya homework za mwanafunzi WAVIVU na vilaza wa ulaya na marekani.
Kwani wanafanya bure,Hakuna pesa chafu na safi,
Acha vijana wa hustle, tumia bundles zako vizuri si kuingia tu online kuchat kama zuzu
Baki na kiswAhili yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…